<(") HII DHAMBI YA KUMKOSOA MUNGU NA UUMBAJI WAKE, JE NANI ATAPONA???
_________________________________
Ilikua imezoeleka kuona ni wasichana na wanawake kujichubua ngozi zao, ingawa sio sahihi na wala si mpango wa Mungu lakini roho hiyo ya mwanamke Yezebeli imepamba moto ktk nyakati hz za kumalizia,
na sasa imekuwa kama mchezo tu, si wanawake, si wanaume tena siku hz mpaka na WACHUNGAJI nao wameingia ktk mtego huu wa Ibilisi, nao wamekua wakosoaji wakubwa wa Mungu na uumbaji wake.
_________________________________
Katika kusumbuka kuutafuta uzuri, watu wengi leo wanamtenda Mungu dhambi kwa kumsahihisha, kana kwamba Mungu aliwaumbia viungo vyao kimakosa (kwamba alikosea kuwaumba walivyo na badala yake angewaumba kama jinsi wanavyotaka wao),
*************************-***-****
Hii si sawa hata kidogo, na ingawa Mungu amenyamaza lkn ipo siku ambayo watu watajuta wakitafuta njia ya kutubu na wasiipate,
*********************************
Mungu anasema kila alichokiumba na tazama kilikua chema (kikiwa kama kilivyo ktk asili yake) MWANZO 1:31.
_________________________________
Suala la kuvaa nywele za wafu (mawigi), kuweka kucha bandia, kope, nyusi, meno na hata kubadili asili ya ngozi kwa kujichubua, nakuambia ipo siku inakuja ambayo watu watajuta kuvifanya, na siku hiyo haitawaonea huruma wachungaji wala mama wachungaji wanaomtukana Mungu kwa kumwona hajui kuumba ila wao ndo waumbaji wazuri kuliko yeye, maandiko yanasema, Mtu akimuheshimu Mungu, Mungu pia atamuheshimu mtu huyo, la hakumuheshimu basi atahesabiwa kuwa ni mkosa, (1SAMWELI 2:30)
_______________________________
MAANDIKO YAFUATAYO YAKUSAIDIE KUELEWA VIZURI UJUMBE HUU:
_________________________________
Ilikua imezoeleka kuona ni wasichana na wanawake kujichubua ngozi zao, ingawa sio sahihi na wala si mpango wa Mungu lakini roho hiyo ya mwanamke Yezebeli imepamba moto ktk nyakati hz za kumalizia,
na sasa imekuwa kama mchezo tu, si wanawake, si wanaume tena siku hz mpaka na WACHUNGAJI nao wameingia ktk mtego huu wa Ibilisi, nao wamekua wakosoaji wakubwa wa Mungu na uumbaji wake.
_________________________________
Katika kusumbuka kuutafuta uzuri, watu wengi leo wanamtenda Mungu dhambi kwa kumsahihisha, kana kwamba Mungu aliwaumbia viungo vyao kimakosa (kwamba alikosea kuwaumba walivyo na badala yake angewaumba kama jinsi wanavyotaka wao),
*************************-***-****
Hii si sawa hata kidogo, na ingawa Mungu amenyamaza lkn ipo siku ambayo watu watajuta wakitafuta njia ya kutubu na wasiipate,
*********************************
Mungu anasema kila alichokiumba na tazama kilikua chema (kikiwa kama kilivyo ktk asili yake) MWANZO 1:31.
_________________________________
Suala la kuvaa nywele za wafu (mawigi), kuweka kucha bandia, kope, nyusi, meno na hata kubadili asili ya ngozi kwa kujichubua, nakuambia ipo siku inakuja ambayo watu watajuta kuvifanya, na siku hiyo haitawaonea huruma wachungaji wala mama wachungaji wanaomtukana Mungu kwa kumwona hajui kuumba ila wao ndo waumbaji wazuri kuliko yeye, maandiko yanasema, Mtu akimuheshimu Mungu, Mungu pia atamuheshimu mtu huyo, la hakumuheshimu basi atahesabiwa kuwa ni mkosa, (1SAMWELI 2:30)
_______________________________
MAANDIKO YAFUATAYO YAKUSAIDIE KUELEWA VIZURI UJUMBE HUU:
WARUMI 9:19-21,
ISAYA 29:16,
YEREMIA 13:23,
ISAYA 29:16,
YEREMIA 13:23,
____ MWENYE MASIKIO NA ASIKIE______.
Ni kosa kubwa sana kumkosoa MWENYEZI MUNGU.
ALIPOUMBA VITU VYO VILIKUWA KAMILIFU VISIVYO NA KOSORO, je wewe ndio mjuzi kuliko YEYE?
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni