Jumamosi, 25 Machi 2017

SUALA ZIMA ZA USHOGA KIBIBLIA

SUALA ZIMA LA USHOGA (MWANAUME KUOLEWA AU KUMUOA MWANAUME MWENZIWE)

Ni jambo ambalo ni chukizo kubwa sana mbele za MUNGU BABA, na mbele za Mwana-kondoo pamoja na Malaika WATAKATIFU wote. Wakati wa Ibrahimu na LUTU, MUNGU aliamua kuichoma Miji miwili, SODOMA NA GOMORA. kwa sababu ya dhambi hiyo 👇

Mwanzo 19: 12 Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je! Unaye mtu hapa zaidi? Mkwe, wanao, na binti zako, na wo wote ulio nao katika mji, uwatoe katika mahali hapa;

13 maana tutapaharibu sisi mahali hapa, kwa kuwa kilio chake kimezidi mbele za BWANA; naye BWANA ametupeleka tupaharibu.

MUNGU hakuishia tu kuwaangamiza watu wa SODOMA na GOMORA, walioendekeza vitendo vya UFIRAJI na ULAWITI! hata wakati wa MUSA, Mungu aliweka sheria hiyo hiyo ya KIFO kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya JINSIA moja. 👇

Walawi 18:22 Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.

Walawi 20:13 Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

Suala zima la USHOGA, ni dhambi mbaya ambayo adhabu yake ni KIFO! haikuwa na msamaha kama ulivyo UONGO, uzushi, Ufisadi. Wahusika hawakupewa nafasi ya kutubia dhambi zao, hata kama wamefanya pasina kujua kuwa ni MACHUKIZO mbele za MUNGU! maana watu wa SODOMA na GOMORA hawakuwa wamepewa sheria ya kuwakataza kufanya kitendo hicho, lakini waliweza kuangamizwa! Kanisa LEO lipo kimya kabisa, na halichukui hatua yo yote kwa Wahuni wanaofungua makanisa kisha kufungisha ndoa za JINSIA hiyo, kitendo Ambacho kinatafsiriwa na wasiokuwa Wakristo kuwa, ni Halali KUFUNGISHWA ndoa hizo katika makanisa, na ukimya wa VIONGOZI wakubwa, ndiyo sababu ya Vitendo hivyo kushamiri, na kuendelea kuliharibia SIFA kanisa la MUNGU! japo maandiko yanasema 👇

Warumi 1:26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;

27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

Haina maana kwamba, MUNGU ameruhusu, la hasha! bali aliwaacha wayafanye hayo kisha wakapata malipo yaliyowastahili ambayo ni Mauti! Mungu hakutoa kibali hicho, kitendo cha KANISA, kukaa tu na kuwaacha Wahuni hao waendelee kujenga makanisa na kisha kufungisha ndoa za JINSIA MOJA ni dhahiri kuwa KANISA linakubaliana na Wahuni, maandiko yanasema. 👇

Warumi 1:32 ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.

Maandiko yanasema, hao wayatendayo hayo, kwa hukumu ya MUNGU ambayo ni ya haki wamestahili mauti, siyo tu wanaojihusisha na VITENDO hivyo, bali hata na wale wanaokubaliana navyo! nao pia wamestahili mauti. Kukubaliana navyo siyo lazima uifungishe ndoa hiyo, hata kitendo cha Kuwaacha wayatumie Makanisa na hatua ya kuwazuia haichukuliwi, basi ni kitendo cha kukubaliana nacho! na imekuwa ni machukizo kwa MUNGU, hata kuzififisha nguvu za KANISA, Yesu alipoona Hekalu limegeuzwa kuwa PANGO LA WAFANYA BIASHARA, alichukua hatua. 👇

Yohana 2:13 Na Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; naye Yesu akakwea mpaka Yerusalemu.

14 Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng'ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi.

15 Akafanya kikoto cha kambaa, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng'ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao;

16 akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, Yaondoeni haya; msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara.

17 Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila.

Sisi LEO ujasiri huu wa YESU KRISTO, tunashindwaje kuwa nao? tunashindwaje kupindua madhabahu zao wafungishao ndoa za JINSIA moja? Paulo alipoona KANISA LA KORINTHO limeanza kuingiza mambo ambayo hayastahili kuwamo ndani ya Kanisa, alichukua hatua ya kuwakemea, kuwa Mkusanyiko waoABEL SULEIMAN SHILIWA:
siyo wa WAFAIDA bali kwa hasara. 👇

1 Korintho 11:16 Lakini mtu ye yote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu.

17 Lakini katika kuagiza haya, siwasifu, ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara.

18 Kwa maana kwanza mkutanikapo kanisani nasikia kuna faraka kwenu; nami nusu nasadiki;

19 kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu, ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu.

20 Basi mkutanikapo pamoja haiwezekani kula chakula cha Bwana;

21 kwa maana kila mmoja hutangulia kutwaa chakula chake katika kule kula; hata huyu ana njaa, na huyu amelewa.

22 Je! Hamna nyumba za kulia na kunywea? Au mnalidharau kanisa la Mungu, na kuwatahayarisha hao wasio na kitu? Niwaambieni? Niwasifu? La! Siwasifu kwa ajili ya hayo.

Hata kama unaamini kuwa wewe haushi CHINI ya sheria, bado siyo sababu ya kukaa kimya! Kwani hao ambao wanafanya hayo, sheria bado inawahusu. 👇

1 TIMOTHEO 1:8 Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali;

9 akilifahamu neno hili, ya kuwa sheria haimhusu mtu wa haki, bali waasi, na wasio wataratibu, na makafiri, na wenye dhambi, na wanajisi, na wasiomcha Mungu, na wapigao baba zao, na wapigao mama zao, na wauaji,

10 na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na likiwapo neno lo lote linginelo lisilopatana na mafundisho yenye uzima;

HAO WATU NI LAZIMA WASHUGHULIKIWE KWA SABABU SHERIA INAWAHUSU WAO, WEWE AMBAYE HUFANYI HAYO, UHUSIKI KATIKA SHERIA. KANISA LIAMKE.

Asanteni Wote mliosoma post hii

Mungu awabariki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni